Rais Samia ahudhuria Dhifa ya Kitaifa Jijini Bujumbura | ZamotoHabari.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye, wakishuhudia utiaji saini hati 8 za makubaliano kati ya Nchi mbili hizi leo Julai 16,2021.

-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitembelea Tawi la Jipya la Banki ya CRDB  Bujumbura Nchini Burundi wakati alipokuwa katika ziara ya kitaifa Nchini humo leo Julai 16,2021
 



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye pamoja na Mkewe baada ya kuhudhuria Dhifa ya Jioni iliyoandaliwa na  Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi Ikulu Bujumbura Burundi leo Julai 16,2021.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipiga ngoma aliyokabidhiwa na Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye kama zawadi Ikulu Bujumbura Burundi leo Julai 16,2021.

 



APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini