Mwanamziki Mahili Hapa Tanzania (rayvanny ) Amefunguka kuwa WCB na Hamisa Mobeto Wapo Sawa Tofauti na Watu Wanavyo Zungumza Uko Nje.
"Sisi Kama WCB Hatuna Tofauti Yoyote na (mobettohtothetop ) Tunamchukuli kama Shemeji Yetu Tuna wasiliana Nae Kama kawaidi Hatuna Ugomvi Kama Mnavyozungumza Huko Nje"-Ameongea (rayvanny )
APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA




0 Comments