Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wilfred Kidao akimkabidhi tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Daraja la Kwanza ya Wanawake (WFDL) 2021, Jacqueline Joseph wa Ilala Queens katika fainali ya michuano hiyo iliyofanyika juzi jijini Dodoma. Kushoto ni Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu cha Wanawake Nchini (TWFA), Somoe Ng'itu na kulia ni Mkurugenzi wa Shule za Fountain Gate, Japhet Makau. PICHA: MPIGAPICHA WETU.
APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA




0 Comments