MISS UTALII ASHINDA TAJI LA DUNIA | ZamotoHabari






 MSHINDI wa pili Miss Utalii Tanzania 2021, Judith Ngusa, usiku wa kuamkia leo, ameibuka mshindi wa kwanza katika fainali za dunia za Miss United Nations 2022, zilizo fanyika New Delhi India. 

Judith anakuwa mrembo wa kwanza Tanzania , kushinda nafasi ya kwanza katika mashindano ya dunia, ikiwa ni mwendelezo wa rekodi shindano la Miss Utalii Tanzania kushinda taji katika mashindano yote tuliyo wakilisha Tanzania. Kwa ushindi huo kuendeleza rekodi yetu ya kushinda mataji katika fainali za dunia, Judith Peter Ngusa, anakuwa ni Mrembo wa Saba wa Miss Utalii Tanzania kushinda mataji mbalimbali katika fainali za dunia,

 BAADHI ya walio wahi kushinda ni Ritha Sipilian - Miss Tourism world 2007 - Africa,Killy Janga - Miss Tourism World 2006, SADEC, Witness Manwingi - Miss Tourism World 2005.

Judith Ngusa : age 23, height 173 cm, Academic Bachelor Degree in Chinese Language, other profession cabin Crew and flight Safety Officer.

Other Title: Miss Tourism Lindi,Miss Tourism Eastern Zone and 1st Runner Up Miss Tourism Tanzania 2022

Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipoBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini