Just in...Tiner Turner afariki dunia!

Mwanamuziki maarufu duniani Tina Turner amefariki akiwa na umri wa miaka 83.

Kwa mujibu wa BBC World News Tina Turner ambaye alikuwa akijulikana kama malkia wa rock n roll amefariki nyumbani kwao Uswis baada ya kuugua kwa muda mrefu.


Sponsored by ZAMOTO MEDIA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini