Mbunge wa Jimbo la Geita,na Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM Mkoani Geita ,Joseph Kasheku(Msukuma) akiteta jambo nje ya mahakama baada ya kesi kuhailishwa
Baadhi ya wananchi ambao walijitokeza kusikiliza kesi hiyowakiwa nje ya mahakama. |
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
/* Style Definitions */
table.MsoNormalTable
{mso-style-name:”Table Normal”;
mso-tstyle-rowband-size:0;
mso-tstyle-colband-size:0;
mso-style-noshow:yes;
mso-style-priority:99;
mso-style-qformat:yes;
mso-style-parent:””;
mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt;
mso-para-margin-top:0in;
mso-para-margin-right:0in;
mso-para-margin-bottom:10.0pt;
mso-para-margin-left:0in;
line-height:115%;
mso-pagination:widow-orphan;
font-size:11.0pt;
font-family:”Calibri”,”sans-serif”;
mso-ascii-font-family:Calibri;
mso-ascii-theme-font:minor-latin;
mso-fareast-font-family:”Times New Roman”;
mso-fareast-theme-font:minor-fareast;
mso-hansi-font-family:Calibri;
mso-hansi-theme-font:minor-latin;}
inayomkabili Mbunge wa Geita na Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi Mkoani Geita
Joseph Kasheku Msukuma na madiwani nane imesogezwa mbele baada ya upande wa
mashitaka kudai upelelezi haujakamilika.
hiyo ambayo ilikuwa isikilizwe leo imepangwa kutajwa tarehe 10 mwezi wa 11
mwaka huu ambapo washitakiwa wote wapo nje kwa dhamana.
upande wake wakili anayewatetea washitakiwa Bw Deo Mgengeli ameelezea hatua
ambayo imeendelea siku ya leo mahakamani hapo kuwa shauri limekuja na kwamba
limetajwa na hadi sasa hakuna mshitakiwa ambaye ameongezeka hivyo mahakama
imeamua tarehe Kumi mwezi wa 11 wawasili mahakamani kusikiliza tena kesi hiyo.
wakili Mgengeli amezungumzia suala la madiwani wengine waliokamatwa na jeshi la
polisi na kutofikishwa mahakamani amesema
kuwa kukamatwa kwa madiwani hao ni jambo la kawaida kwani ni swala la upepelezi kwa makosa ya
jinai na kwamba alhamisi wanatakiwa kwenda tena polisi ili kujua ni kipi
ambacho kinaendelea ila hadi sasa awana kosa lolote.
katika mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Geita Septemba 19 mwaka huu
wanakabiliwa a mashitaka ya kufanya mkutano bila kibali, kuziba barabara na
uharibifu wa bomba la maji linaloelekea kwenye mgodi wa dhahabu wa GGM.
Sponsored by ZAMOTO MEDIA
0 Comments