Jerry Muro Ampongeza Haji Manara Baada ya Sare na Al ya Misri "Hongera Swahiba si Haba"

Jerry Muro Ampongeza Haji Manara Baada ya Sare na Al ya Misri "Hongera Swahiba si Haba"
Baada ya kuhudhuria katika mtangange wa Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba Sc dhidi ya Al Masry SC, Afisa Habari wa zamani wa Young Africans, Jerry Muro, amesema kuwa si vema ushabiki ukasababisha kuondoka kwa uzalendo.

Jerry ameamua kuwa mfano wa wadau wa Yanga waliojitoa kwenda kuipa hamasa Simba katika mchezo ambao timu hizo zimeenda sare ya mabao 2-2.

Na kupitia ukurasa wake wa Instagram, Muro aliandika haya kwa uchache

 
Sponsored by ZAMOTO MEDIA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini