Chelsea imemtangaza Kocha Wake Mpya Baada ya Kumtimua Antonio Conte


ENGLAND: Klabu ya soka ya Chelsea imemtangaza aliyekuwa kocha wa Napoli ya Italia, Maurizio Sarri(59) kuwa kocha wake mpya

Sarri anayechukua nafasi ya kocha Antonio Conte aliyesitishiwa mkataba wake amesaini mkataba wa miaka mitatu

Aidha, Sarri anakuwa kocha Muitaliano wa 12 kuwahi kuzinoa timu zinazoshiriki ligi kuu nchini humo huku akiwa kocha Muitaliano wa 6 kuwahi kuinoa timu ya Chelsea pekee

Je, unadhani Chelsea watapata mafanikio makubwa na kocha huyu mpya katika msimu ujao?

Sponsored by ZAMOTO MEDIA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini