Wamama Ambao Huwa Wanawapiga Sana Watoto Wao wa Kiume Huwa Hawana Mapenzi na Waume zao


Wakuu, nimefuatilia muda mrefu hawa wamama ambao wakipata mwanya wa kuwaadhibu watoto wao, hutembeza kipigo cha haja/ cha mbwa koko na nimegundua kuwa huwa na chuki kama sio kuwapenda waume zao ambao ndio baba watoto!

Suala la kuwapiga watoto si kosa ila wapo ambao hutembeza kipigo cha adabu kiasi kwamba unahisi huyo mtoto anaweza kufa.

Hivyo niwashauri tu wamama,kuwa chuki zenu wewe na mumeo msizihamishie kwa watoto mtakuja kuwaua bure.

Muswanu!

Sponsored by ZAMOTO MEDIA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini