BENKI YA CRDB YAWAPA SEMINA WATEJA WAKE MKONIA IRINGA | ZamotoHabari

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi akizungumza wakati akifungua semina ya siku moja kwa wafanyabiashara na wateja wa Benki ya CRDB Mkoani Iringa, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kichangani, Februari 26, 2019.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja kwa wafanyabiashara na wateja wa Benki ya CRDB Mkoani Iringa, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kichangani, Februari 26, 2019.
Mjumbe wa Bodi ya Benki ya CRDB, Dkt. Neema Mori akizungumza wakati wa semina ya siku moja kwa wafanyabiashara na wateja wa Benki ya CRDB Mkoani Iringa, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kichangani, Februari 26, 2019.
Wakurugenzi wa Benki ya CRDB wakitoa mada kwa wafanyabiashana na wateja wa Benki ya CRDB waliohudhulia semima hiyo.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa akifafanua jambo wakati wa semina ya siku moja kwa wafanyabiashara na wateja wa Benki ya CRDB Mkoani Iringa, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kichangani, Februari 26, 2019.

























Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipoBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini