MBUNGE WA CHADEMA ALAZWA KCMC

Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini (CHADEMA) amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC mjini Moshi, ambapo alifikishwa Februari 27 mwaka huu. Mbunge huyo anasumbuliwa na shinikizo la damu.

Katibu wa Chadema, Mkoa wa Kilimanjaro Basili Lema amethibitisha kulazwa kwa Mbunge huyo.

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini