Ruge kuzikwa kiheshima leo na maelfu ya watu Bukoba | ZamotoHabari.

Ruge kuzikwa kiheshima leo na maelfu ya watu Bukoba
Ruge Mutahaba ambaye alikuwa mmoja kati ya wahasisi wa Clouds Media, atazikwa leo Jumatatu March 4, 2019  huko nyumbani kwao Bukoba.

Mapema jana mwili wa Marehemu Ruge Mutahaba uliwasili kiwanja cha ndege cha Bukoba majira ya saa 3 asubuhi na kupokewa na maelfu ya watu.

Wakati mwili umewasili jana wakazi wa Mji huyo walionekana wakilia kwa uchungu baada ya kumpoteza Ruge ambaye anadaiwa amewafungulia njia watu wengi.
Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipoBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini