RAIS MAGUFULI AWASAMEHE WALIONUNUA KOROSHO KWA MTINDO WA KANGOMBA


Rais Dkt.John Pombe Magufuli ametoa msamaha kwa watu walionunua korosho kwa mtindo wa Kangomba iwapo watakiri kujihusisha na mtindo huo na kuwaonya wasirudie tena kosa hilo kwa msimu ujao.

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini