WABUNGE WA UPINZANI WATOKA NJE YA BUNGE KUPINGA MDEE KUSIMAMISHWA


Wabunge wa upinzani wametoka nje ya bunge kupinga hatua iliyochukuliwa na Bunge ya kumsimamisha Mhe.Halima Mdee mikutano miwili ya bunge kuanzia leo kutokana na kulidharau Bunge.

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini