Mwanahabari Azory Gwanda aliyetoweka katika mazingira ya kutatanisha yapata zaidi ya siku 500 zilizopita, tukio lake limeorodheshwa miongoni mwa visa kumi vya dharura
Orodha hiyo iko chini ya kundi linalopigania uhuru wa vyombo vya habari na umoja wa vyombo huru vya habari Duniani
Kundi hilo linaundwa na makundi 30 ya wahariri na wachapishaji vikiwemo vyombo vya habari kama India Today, Reuters, Quartz na The financial times
Vyombo vingine ni TIME na Washington Post ambavyo kwa pamoja vinatoa matamko ya kuwatetea wanahabari waliohatarini
Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipo
BOFYA HAPA
0 Comments