Kufuatia Dhoruba ya Upepo mkali uliombatana na Mvua kubwa kuikumba Shule ya Sekondari Bukoba, na Kusababisha madhara makubwa katika Shule hiyo na kufungwa kwa Muda, sasa ukarabati umeanza na hizi ndiyoo picha mbalimbali zikionesha ujenzi wa shule hiyo unavyoendelea na hatua iliyofikiwa.
Jiunge Grupu la Mishono ya Vitenge VITENGE MISHONO












0 Comments