KENYA: Rashid Kassim anatuhumiwa kwa kumchapa kibao Fatuma Gedi akimtuhumu kwa kutopeleka fedha kwenye jimbo lake
Baada ya kuchapwa kibao hicho, Fatuma Gedi ambaye ni mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, alionekana akivuja damu katika kinywa chake
Kufuatia kitendo hicho Wabunge Wanawake wote walitoka nje ya Ukumbi wa Bunge
Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipo
BOFYA HAPA




0 Comments