MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI BRELA | ZamotoHabari.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serilkali, Dkt.Hassan Abbasi akizungumza na Menejimenti ya wafanyakazi wa Wakala wa Usajili wa Leseni na Biashara (BRELA) alipotembelea kwa zira ya kikazi iliyofanyika Jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2019.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serilkali, Dkt.Hassan Abbasi, akisistiza jambo kwa Menejimenti ya wafanyakazi wa Wakala wa Usajili wa Leseni na Biashara (BRELA) alipotembelea kwa zira ya kikazi Septemba 4, 2019.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serilkali, Dkt.Hassan Abbasi, akifurahia jambo na wafanyakazi wa Wakala waUsajili wa Leseni na Biashara (BRELA) pamoja na Viongozi Chama cha Maafisa Mawasiliano na Mahusiano Serikalini(TAGCO) wakati wa zaira ya kikazi iliyofanyika Jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2019.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serilkali, Dkt.Hassan Abbasi, akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Wakala wa Usajili wa Leseni na Biashara (BRELA) pamoja na Viongozi Chama cha Maafisa Mawasiliano na Mahusiano Serikalini(TAGCO) wakati wa zaira ya kikazi iliyofanyika Jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2019.

Picha na Idara ya Habari-MAELEZO.


Jiunge Grupu la Mishono ya Vitenge VITENGE MISHONO

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini