Video: MAJONZI! kijana Aliyepumlia Mashine, Alikisema Kifo Chake, Neno Lake la Mwisho Lawaliza Ndugu | ZamotoHabari.



Majonzi yatawala Ukonga majumba sita, baada ya kijana aliyekuwa anaishi kwa kupumlia mashine kufariki jana jioni, akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Mloganzila.

Kijana Hamad Awadh (28), aliishi kwa muda wa zaidi ya mwaka mmoja akiwa na matatizo katika njia ya upumuaji.

Dar 24 ilifika nyumbani kwake mwezi Agosti mwaka huu ili kumsaidia kupata msaada kutoka kwa wasamalia wema wa fedha za matibabu na wiki kadhaa baadaye alifanikiwa kupata na kuanza kupatiwa matibabu Muhimbili.

Siku ya Alhamisi majira ya saa kumi jioni alifariki, ndugu zake wameeleza jinsi walivyoishi naye enzi za uhai wake, na jinsi alivyokiona kifo chake,…Bofya hapa kutazama.


VIDEO:


Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipo
BOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini