Dk. Ndugulile: Dawa ya Chloroquine haitibu Corona inapunguza makali | ZamotoHabari.



Naibu waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto, Dk Faustine Ndugulile, amesema  sawa ya Chloroquine inapunguza ukali wa homa ya mapafu (Pneumonia).

Ndugulile ameandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa Twitter wakati akitoa elimu ya virusi vya Corona.

“Pia kufupisha muda wa kuugua homa hiyo kwa wagonjwa wa Corona,” aliandika Dk Ndugulile.

Amesema kuwa dawa hiyo haiponyi bali inapunguza makali ya ugonjwa, hivyo wananchi waendelee kuchukua tahadhari ya kujikinga na Corona.


APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini