FAHAMU; Msanii wa Bongoflava Officiallyyn kahama nyumba ya mbezi beach aliyokua analipa 1.5m kahamia masaki now analipa 3m kwa mwezi ata Kama kanadanga ila kanadanga kwa akili
Comments za Wadau:
Hiyo sio akili maana kwa kodi ya miez this tuuu anauwezo wa kumiliki nyumba yake bila kudaiwa kod
Sio kwa corona hiii atarudi buguruni kuuza mahindi😆
Ataishi hivyo mpaka lini...asisahau kudanga kuna kikomo fainali uzeeni
Ataishi hivyo mpaka lini...asisahau kudanga kuna kikomo fainali uzeeni
Kanadanga kwa akili nyumba ya kupanga? Angekuwa na akili angedanga na kujenga nyumba yake, maisha ya kudanga yana mwisho wake,mwisho ukifika akishindwa kulipa kodi kwenye hiyo nyumba anatimuliwa
APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA
0 Comments