Mwanamuziki mkongwe wa miondoko ya Soukous Aurlus Mabele amefariki dunia jijini Paris nchini Ufaransa.
Kwa mujibu wa NationBreaking kifo cha Mabele kimetokana na kiharusi na homa ya Covid-19.
Taarifa hiyo imetolewa na msanii mwenzake wa LOKETO Nyboma Mwandido.
APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa
KUBOFYA HAPA
0 Comments