Stori ya Kutisha ya Foleni Ya Magari Iliyoganda Porini Kwa Muda Wa Miaka 70... | ZamotoHabari.

Kunakitu kuhusu sehemu ambazo zimetelekezwa miaka mingi iliyopita ambazo  wengine huita magofu, sehemu hizi mara nyingi hua zimetumika miaka ya nyuma na baadae kuachwa peke yake zikibakisha historia na kumbukumbu za watu waliopita, Kibaya ni kwamba sio kila sehemu inaachwa kwa mazuri, sehemu nyingine hushtua na kutisha kiasi kwamba hata kutembelea tu lazima roho yako isite.!


Kutana na  Belgian Car forest.! Msitu ambao umeficha magari yaliyokua kwenye foleni na kutelekezwa yakiwa yamejipanga kama yapo barabarani.! VIDEO:


APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini