Z Anto Afunguka "Binti Kiziwi Tangu Atoke Gerezani China Hawezi Kulala" | ZamotoHabari.


HATUNA HISIA ZA KIMAPENZI, TUNASAIDIANA.. "Binti Kiziwi tangu atoke gerezani hawezi kulala kutokana na aina ya maisha aliyokuwa akiishi huko jela, hadi akae sawa itachukua muda na tangu tumekutana hatuko katika hisia za kimapenzi ila tunasaidiana kimaisha tu" Ameyasema hayo Z ANTO

APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini