NEC Yamteua Bernard Membe kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia ACT-Wazalendo | ZamotoHabari.


Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imemteua Bernard Membe kuwa mgombea urais  wa Tanzania kupitia ACT-Wazalendo na mgombea mwenza, Profesa Omar Fakih Hamad kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 28, 2020.

APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini