Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahra Michuzi akiongoza kikao kazi na wakuu wa idara na mbalimbali, ambapo aliwasihi wafanye kazi kwa upendo na ushirikiano na kuheshimiana ili kuweza kuistawisha Halmashauri hiyo.APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA




0 Comments