TRA yashiriki MOI Marathon 2024 | ZamotoHabari

TRA yashiriki MOI Marathon 2024 kwa lengo la kuchangia matibabu ya magonjwa sugu pamoja na kutoa msukumo kwa watumishi wa Hospitali hiyo kufanya mazoezi ili kujiepusha na magomjwa yasioambukiza .

Katika ushiriki huo TRA ni kutaka kufikisha ujumbe wa kuhamasisha wananchi kutoa na kudai risiti ili kuwezesha serikali kutoa huduma za matibabu kwa wananchi wake.








Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipoBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini