Wananchi waliofika katika maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara Sabasaba 2019 wakiuliza maswali kwa timu ya wataalamu kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) walipotembelea banda hilo lililopo jengo la Saba Saba Hall kujionea shughuli zinazofanywa na mamlaka hiyo.
Wananchi waliojitokeza katika banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wakipewa elimu juu ya masuala ya usalama na usafiri wa anga. Jiunge Grupu la Mishono ya Vitenge VITENGE MISHONO



0 Comments