IGP SIRRO: WANANCHI WASHIRIKIANE NA JESHI LA POLISI KUDHIBITI MAUAJI | ZamotoHabari.

Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro amemuagiza kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora kuhakikisha anashirikiana na wananchi katika kudhibiti vitendo vya mauaji yanayotokana na imani za ushirikina, ubakaji pamoja na uhalifu wa uvunjaji. 

IGP Sirro amesema hayo wakati akiwa katika ziara ya ukaguzi katika wilaya za Igunga na Nzega mkoani humo ziara yenye lengo la kuona utayari wa askari Polisi wakati wanapotekeleza majukumu yao. 

Aidha, IGP Sirro amesema kuwa, ni vyema pia viongozi wa kidini na wa kisiasa kuzungumzia madhara ya mauji na uvunjaji katika maeneo yao.


Jiunge Grupu la Mishono ya Vitenge VITENGE MISHONO

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini