Shirika la Ndege la Kenya Airways Laamua Kufanya Maamuzi Magumu.. | ZamotoHabari.



Shirika hilo limefikia uamuzi huo ili kuendana na Serikali katika kuzuia safari zote za Kimataifa Kenya katika kupambana na kuenea kwa #covid_19

Wasafiri wameshauriwa kubadili tiketi zao hadi baadae au kubadili na kupewa vocha ya kusafiri ndani ya miezi 12 ambapo safari za Mombasa na Kisumu bado zipo

Limesema limelazimika kupunguza safari zake kwa asilimia 70 na kushindwa kufanya safari za Kimataifa na pia mishahara ya Wanyakazi itapunguzwa kwa muda


APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini