Lema: Sijajua ni kwa nini akili yangu ina mgogoro na takwimu zako za Corona Waziri Ummy? | ZamotoHabari.


Mbunge wa Arusha mjini (Chadema), Godbless Lema, amesema Mungu amsaidie Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy mwalimu asije kupotosha taarifa.

“Hali ikiwa mbaya watu wakafa wanao kutuma kama wapo watakuruka,” aliandika Lema katika ukurasa wake wa Twitter.

Lema alisema anashukuru Mungu kwa idadi ndogo ya wagonjwa nchini.

“Lakini sijui ni kwa nini akili yangu ina mgogoro na takwimu zako? Nitaongea na akili yangu tens Leo kabla sijalala,” aliandika Lema


APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini