Maalim Seif "Mamlaka Zimuachie Nassor Mazrui Mara Moja" | ZamotoHabari.

 


Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amezitaka Mamlaka kumuachia Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho Zanzibar, Nassor Mazrui

 

Amesema, "Kuna taratibu za kukamata mtu, na kilichofanyika ni uvamizi na uhuni. Tunatoa wito Mazrui aachiwe mara moja"

 

Kwa mujibu wa Kiongozi wa Chama, Zitto Kabwe, Mazrui ametekwa leo asubuhi na wanaosemekana kuwa Vijana wa Jeshi la JKU Zanzibar akiwa anaelekea Ofisini




APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini