UFUNGUZI WA KIWANDA CHA BIDHAA ZA NGOZI KILIMANJARO | ZamotoHabari.


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene (kushoto), akizungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (kulia), baada ya Ufunguzi wa Kiwanda cha bidhaa za Ngozi cha Kilimanjaro. Kiwanda hicho kilifunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Magufuli (hayupo pichani). Uzinduzi huo umefanyika leo, Mjini Moshi, Mkoani Kilimanjaro.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene (katikati), Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (kulia) pamoja na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, CGP Suleiman Mzee (kushoto) wakizungumza baada ya ufunguzi wa Kiwanda cha bidhaa za Ngozi cha Kilimanjaro. Kiwanda hicho kilifunguliwa leo na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli (hayupo pichani).

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (katikati), akiagana na Kamishna Jenerali Jenerali wa Jeshi la Magereza, CGP Suleiman Mzee (kushoto) baada ya kumalizika kwa ufunguzi wa Kiwanda cha bidhaa za Ngozi cha Kilimanjaro. Kiwanda hicho kilifunguliwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, Mkoani Kilimanjaro leo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (Watatu kutoka kushoto), akiwa na baadhi ya Viongozi kabla ya Ufunguzi wa Kiwanda cha bidhaa za Ngozi cha Kilimanjaro. Kiwanda hicho kilifunguliwa leo na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, Mkoani Kilimanjaro.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene (Wanne kutoka kushoto), Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (Watatu kutoka kulia), Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, CGP Suleiman Mzee (Watatu kutoka kushoto) pamoja na baadhi ya Viongozi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya Ufunguzi wa Kiwanda cha bidhaa za Ngozi cha Kilimanjaro. Kiwanda hicho kilifunguliwa leo na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli (hayupo pichani).

Baadhi ya kazi zinazofanywa ndani ya Kiwanda cha bidhaa za Ngozi cha Kilimanjaro. Kiwanda hicho kilifunguliwa Mjini Moshi, Mkoani Kilimanjaro leo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Magufuli.



APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini